Â
ELLEN WHITE PRE AND PRIMARY SCHOOLÂ
P. O. Box 3118,Â
Nzuguni Dodoma – TanzaniaÂ
Mob: 0769 352 215 / 0673 443 962Â
Email: [email protected]Â
Web: www.ews.sc.tzÂ
 TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA          11/08/2023Â
Utangulizi Ofisi ya Meneja wa shule ya Ellen White School- Dodoma, inapenda kuutangazia umma kuwa shule imetoa nafasi mbalimbali za ajira kama ifuatavyo:-Â
1. Walezi wa Watoto (matrons/patrons) Nafasi 5Â
 Waajiriwa katika nafasi hii wanatakiwa kuwa wenye sifa zifuatazo:-Â
ï‚· Umri usiopungua miaka 30 na usiozidi miaka 50.Â
ï‚· Mwenye Elimu ya malezi ya watoto atafikiriwa kwanza.Â
ï‚· Elimu ya kidato cha nne na kuendelea.Â
ï‚· Uwezo wa kuongea na kuandika lugha ya Kingereza kwa ufasaha.Â
ï‚· Mwenye upendo kwa watoto na mvumilivu katika kazi ya malezi ya watoto.Â
ï‚· Mcha mungu na mwenye maadili mema.Â
ï‚· Mwenye uwezo wa kufundisha michezo kama sifa ya ziada lakini siyo lazima.Â
ï‚· Mwenye uzoefu wa kushughulika na watotoÂ
2. Katibu Muhtasi (Secretary) Nafasi 2Â
 Waajiriwa katika nafasi hii wanatakiwa kuwa wenye sifa zifuatazo:-Â
ï‚· Elimu ya kidato cha nne na kuendelea.Â
ï‚· Uwezo wa kuongea na kuandika lugha ya Kingereza kwa ufasaha.Â
ï‚· Kasi nzuri ya kuchapa barua na nyaraka nyingine bila makosa..Â
ï‚· Uwezo wa kutumia vifaa vya kazi ikiwemo computer, printer, photocopy nk. kwa weledi na kuwa mtunzaji mzuri wa vifaa hivyo.Â
ï‚· Mwenye uvumilivu wa kufanya kazi hata baada ya saa za kazi za kawaida.Â
ï‚· Mwenye kutoa huduma nzuri kwa wateja wakati wote.Â
3. Walimu Nafasi 10Â
Waajiriwa katika nafasi hii wanatakiwa kuwa wenye sifa zifuatazo:-Â
Wenye Astashahada (cheti) au Stashahada (Diploma) ya ualimu wa Elimu ya Msingi au elimu ya awali (Early Childhood Education).Â
 Masharti ya jumla kwa kazi zote:Â
ï‚· Waombaji wote waambatanishe maombi yao na vivuli vya cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha NIDA.Â
ï‚· Waombaji waambatanishe maelezo yao binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) yenye anwani, namba ya simu ya kuaminika, pamoja na majina matatu ya wadhamini wa kuaminika.Â
ï‚· Maombi yote yaambatane na vivuli vya vyeti vya taaluma (kidato cha nne, sita nk.) pamoja na picha moja ya passport iliyopigwa hivi karibuni.Â
ï‚· Maombi yaandikwe kwa lugha ya Kingereza.Â
Zingatia Barua zote za maombi ziandikwe kwa mkono na zitumwe kwenye barua pepe [email protected] au anwani tajwa hapa chini.Â
NB;
Kwenye barua yako, onesha/andika  maxflix93.com  kama sehemu ulipo ona/sikia tangazo hili.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 30/8/2023 muda wa saa za kazi.Â
SCHOOL MANAGERÂ
ELLEN WHITE SCHOOLÂ
P.O BOX 3118Â
DODOMA
0 Comments