Â
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGgGjVgBhWwm3f2xLyUpEyzQoono4C-bPRjhrNZG5iVMf2x8mRvs_Jce0NaLPV50DOcF0SSJUNB6rBVHVsmQSKZPNQFhZgqkEvPQeW7lJcaq9B0uxwy_G23TGmRcCxTP53AOyUyz1loKJ3lMQ82POML3cUqT9dl2D826AaOl5MzXOHnkiTE9shHQtLML8/s1600/UHURU%20NA%20UMOJA.jpg)
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na. AB.JA.9/259/01/A/338Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â 14/07/2023
TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji
kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 04-19/02/2023 na 14-29/05/2023 kuwa
matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo
hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye
kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya
nafasi kupatikana.
Waombaji waliofaulu usaili wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi katika
Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo katika Chuo Kikuu cha
Dodoma (UDOM) kwenye Majengo ya Dkt. Asha Rose Migiro, Masjala yawazi ndani ya siku
saba kutoka tarehe ya tangazo hili na baada ya hapo barua ambazo hazitachukuliwa na
wahusika zitatumwa kupitia anuani zao za Posta.
Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa
Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa
na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili
vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira.
Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata
nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi
zitakapotangazwa.
NB:Â
Waombaji wanaokuja kuchukua barua zao wanatakiwa wawe wamevaa Barakoa na
kuja na Kitambulisho kinachotambulika.
NA MAMLAKA YA AJIRA KADA MAJINA YA WALIOITWA KAZINI
1 Wizara ya Kilimo ICT OFFICER II (APPLICATION PROGRAMMERS)
1. WILLIAM THOMAS
SEKAMAGANGA
2 Wizara ya Kilimo ICT OFFICER II (APPLICATION PROGRAMMERS)
1. ELIVIA MELCHIADES
KABIGUMILA
2. ROSE KELLO RASHID
3 Wizara ya Kilimo AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER
GRADE II)Â
1. THEREZA CLIFODY MAINGU
2. BATHROMEO TIMOTHY NGELA
3. ENOCK JOHN MAMBYA
4 Wizara ya Kilimo TECHNICIAN II (ELECTRICAL)
1. STANSLAUS MATAI RAPHAEL
5 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA TAWALA DARAJA LA II
1. ASHIRI SHAIBU JUMA
6 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA UKAGUZI WA NDANI DARAJA LA II (INTERNAL AUDIT
OFFICER II)Â
1. KARIM ABDI KASSINGO
7 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA UTUMISHI DARAJA LA II
1. LOUIS JOACHIM PADRACK
8 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER
GRADE II)Â
1. NASRI PAZI KITWANA
9 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania
(GST)
PROCUREMENT AND SUPPLIES OFFICER GRADE II
1. DOMINICK GOODLUCK SANGA
10 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania
(GST)
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. ASHA ABEID ADAM
11 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania
(GST)
GEOLOGIST II
1. WILLIAM ALLAN KALINGA
2. JOFREY JUSTUS MUSIZA
3. BERTHA HEMEDI
MATOBANGO
4. MUSTADI SHABANI MSHAKANGOTO
12 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania
(GST)
ENGINEER II (MINERAL PROCESSING)
1. BRIGHTONY ANSELMI JULIUS TEMBA
2. YOHANA ANDREW NYIRENDA
3. ABRAHMAN ABUBAKARI PANGA
13 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST)
CHEMIST OFFICER -II
1. BEATRICE GUSTODES MUHANIKA
14 Institute of Accountancy Arusha (IAA) RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. ATEMISTA STULMIUS PONERA
15 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST)
TECHNICIAN II (CARTOGRAPHER) -II
1. VERONICA CHARLES MTUHI
16 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST)
CHEMIST OFFICER -II
1. POLIECT ONESMO NGOWI
2. JULIUS KIKOHI TUMAINI
17 Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) KATIBU SHERIA DARAJA LA II
1. SIZA JACKSON PIMA
2. FOKAS GASPA BRUNO
3. MSAFIRI JUMA IRONDO
4. ELIADA NYAMIHIRI WEREMA
5. SIA IBAMBA MASAGA
6. NELLY SAILAS KATOTO
7. EDWARD SIMON JOHN
8. DANSTAN STANSLAUSFRANCIS
9. PETER JACKSON KAMUGISHA
10. GLORY ENOCK WAZIRI
11. PASCHAL JOSEPH JASHO
12. FRANCIS LUCAS SYPRIN
13. CAROLINE ZABRONCHARLES
14. MICHAEL GEORGE MJEMA
15. RICHARD WILLIAM MOLLEL
16. LOYCE TWEGE NZIGE
17. FREEDOM PHILEMON MWAKIGONJOLA
18. HUMPHREY MICHAEL MOLLEL
19. FARIDI ABDALLAH OMARI
20. LILIAN WILLIAM KACHUMITA
21. SUZAN AUGUSTINE MACHUMU
22. TATU JUMA HARUNA
23. YULITHA ELISHA MWANJOKA
24. RAHIMU NURU RWEGOSHORA
25. GRADNESS MISUKA EPHRAIM
26. MALIMA EDWARD NYEURA
27. ANDREA FOCUS GWIMBUGWA
28. NEEMA KENNEDY OGUTU
29. MAYUNGA PETER PIUS
30. HAIDAR HASSAN MOHAMMED
31. JOHN HHANDO BAYYO
32. BEATRICE OCKTAVIAN MVUMBAGU
33. NOEL HENRY MARUWA
34. OMARY SALUM NDAGULLAH
35. MSHINDO ABDALLAH JUMAH
36. ANTHONY DEUS MWITA
18 Institute of Accountancy Arusha (IAA) TUTORIAL ASSISTANT – PEACE AND SECURITY
1. OMARY MBWANA MAHANAKAH
19 Institute of Accountancy Arusha (IAA) TUTORIAL ASSISTANT – CYBER SECURITY/INFORMATION
SYSTEM SECURITYÂ
1. EZRA FREDRICK FUFU
20 Institute of Accountancy Arusha (IAA) TUTORIAL ASSISTANT – CHINESE
1. RAHIL JUMA NGURUKO
21 Institute of Accountancy Arusha (IAA) OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II
1. SARAH LUCAS MAKWAI
22 Wizara ya Kilimo MCHUMI DARAJA LA II
1. LUSUBILO HOSSEANA MWAKATUMBULA
23 Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) Driver II
1. GODFREY AMOSI EMANUEL
2. RIZIKI STEVEN YOHANA
3. SEIF AHMAD LUYANGI
4. JOSEPH YOHANA KAYOMBO
5. SHUKRANI JOHN WAYAGA
24 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) MSAIDIZI UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II
1. AGNETHA LEOPARD LUOGA
25 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) MSAIDIZI WA MISITU DARAJA LA II
1. EMMANUELY ELISHA SANE
2. LIVIN EUGEN URIO
3. JOSHUA SEMU NASSARI
4. MWANAMKUU HAMISI ZUBERI
5. MERSIA EDWARD LOUTU
6. YASINTA ISHMAEL MOLLEL
7. GRACE ZABRON HAULE
8. GODLIZEN JOHN LAIZER
26 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) MSAIDIZI WA MISITU DARAJA LA II
1. AZIZA HUSSEIN MWASHA
2. BRIAN EVANCE EVARIST
3. AMANDA DEOGRASIAS MICHAEL
4. ABDUSHAKUR ALLY KINGU
5. ABDULKARIM ISSA MUNISI
6. OMEGA WILLY MASSAWE
7. VERONICA JOSEPH AKITANDA
8. LILIAN WILSON ORIO
9. NICCI PHILEMON CHIMAIS
27 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ASSISTANT FOREST OFFICER II
1. NOEL FRANCIS NKWAMA
2. PAMPHLY ISDORY SILAYO
28 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) AFISA MISITU DARAJA LA II
1. JERRYNESS AINEKISHA KABALEMA
2. CHAGU SELYA BANANJE
3. CHARLES CHACHA KEBOHI
29 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) AFISA MISITU DARAJA LA II
1. DENNIS SULUS MAKUBI
2. ZABURI ELIAS MINYALI
3. GLORY GERALD MAGOGWA
4. JORDAN MORIS JOACHIM
30 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) BEE-KEEPING OFFICER II
1. STEVEN PHILIP RINGIA
31 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo AFISA HESABU DARAJA LA II (ACCOUNTS OFFICER II)
1. CHACHA BONIFACE SINGIRA
32 Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma INVESTIGATION OFFICER II
1. JUDITH STANLEY DANFORD
2. DEBORAH SIMON MWANJALI
33 Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma AFISA HESABU DARAJA LA II (ACCOUNTS OFFICER II)
1. HAYTHAM HAMISI ALLY
34 Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma AFISA USAFIRISHAJI DARAJA LA II
1. SULEIMAN OTHMAN FARID
35 Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Ardhini (LATRA) DRIVER II
1. WILLIAM AUGUSTINO MGAYA
36 Wizara ya Kilimo AGRICULTURAL ENGINEER II – IRRIGATION
1. AMINA OTHMAN NDUDI
2. ABASI SHABANI MBWANA
37 Wizara ya Kilimo AGRICULTURAL ENGINEER II – CIVIL
1. SAMWEL JAMES RANGE
2. THEODORY BONIPHACE KISUMO
38 Wizara ya Kilimo AFISA UGAVI II ( SUPPLIES OFFICER II )
1. MARY JACOB LYIMO
39 Wizara ya Kilimo AFISA KUMBUKUMBU DARAJA II
1. AYUBU PAKET MWAMBUGHI
40 Wizara ya Kilimo AFISA UKAGUZI WA NDANI DARAJA LA II (INTERNAL AUDIT
OFFICER II) 1. REHEMA MSAFIRI YONGO
41 Wizara ya Kilimo AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER
GRADE II) 1. HELLEN EZEKIEL HOSEA
42 Wizara ya Kilimo AFISA MAZINGIRA DARAJA LA II (ENVIRONMENTAL
OFFICER)Â
1. ANETH SEVERIN KASABAGO
43 Wizara ya Kilimo AFISA HESABU DARAJA LA II (ACCOUNTS OFFICER II)
1. ATUGHANILE PICKSON SHIBANDA
44 Wizara ya Kilimo MTAKWIMU DARAJA LA II
1. MIRAJI ANDREW KAPANDE
45 Wizara ya Kilimo AFISA UTUMISHI DARAJA LA II
1. NELSON BENEDICT KINYAMAGOHA
46 Wizara ya Kilimo AFISA TAWALA DARAJA LA II
1. SAMWEL ELIKANA JOSEPH
2. JOHNSON EPHRAHIM RUKAZA
47 Wizara ya Kilimo AFISA BIASHARA DARAJA II (TRADE OFFICER II)
1. SESTINA GEOFREY NDELWA
2. ERICK OWDEN MWASIKANDA
48 Wizara ya Kilimo MCHUMI DARAJA LA IIÂ
1. DANIEL DAUDI NSWEVE
49 Wizara ya Kilimo AGRICULTURAL TUTOR II - ENGINEERINGÂ
1. JOYCE JOSEPH NAFTARI
2. HASSAN ALIAMINI KAJWANGYA
50 Wizara ya Kilimo AFISA MAZINGIRA DARAJA LA II (ENVIRONMENTAL OFFICER)Â
1. PRISCA ABDU MNGUU
51 Wizara ya Kilimo ICT OFFICER GRADE II (DATA ANALYST)Â
1. RASHID HASSAN KATANDULA
52 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA TAWALA DARAJA LA II
1. MARIETHA NORBETH NDUNGURU
53 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
DRIVER II.
1. FREEDRICK RWEGASIRA PHILIMATUS
2. YANGA BASHARI MUSSA
54 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER
GRADE II)Â
1. NASSORO RASHID ISSA
55 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA UTUMISHI DARAJA LA II
1. MOHAMED HARIRI TUWANO
56 Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe KATIBU WA KAMATI DARAJA LA II (COMMITTEE CLERK GRADE II)Â
1. SAIDI SALUMU HASSANI
57 Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe AFISA BIASHARA DARAJA II (TRADE OFFICER II)
1. REGINA MATINDE MWESSA
58 Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe AFISA LISHE DARAJA LA II (NUTRITION OFFICER II)
1. ELIUD KISWIGO MWAKASINGA
59 Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER
GRADE II) 1. NEEMA NYERERE MATHIAS
60 Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe AFISA UTUMISHI DARAJA LA II
1. JUDITH HENRY NYAKI
61 Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe AFISA WANYAMAPORI DARAJA LA II (GAME OFFICER II)
1. EZERON MASUMBUKO
SWEETBERT
62 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo AFISA BIASHARA DARAJA II (TRADE OFFICER II)
1. AMEDEUS MROSSO DAUDI
63 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo AFISA UGAVI DARAJA LA II
1. COSTANSIA JEROME NCHIMBI
64 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo AFISA LISHE DARAJA LA II (NUTRITION OFFICER II)
1. JACKLINE CHRISTIAN
KITOMARI
65 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo AFISA MAZINGIRA DARAJA LA II (ENVIRONMENTAL
OFFICER) 1. DEBORA EZEKIA MSIGWA
66 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo MCHUMI DARAJA LA II
1. EMMANUEL METHUSELAH
NZUGWA
67 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
MTAKWIMU DARAJA LA II
1. AGNESS MWILWA MGALULA
68 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA TAWALA DARAJA LA II
1. NASRA DODO ZUBERY
2. DANIEL CHERD NGATUNGA
3. HANS TRYPHONE MWEJI
69 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA UTUMISHI DARAJA LA II
1. MIPAWA WEJA MACHONGO
2. IBRAHIMU SHABANI AMIRI
3. MAGDALENA PHILIPO
MASHAURI
70 Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (PSRS)
AFISA HABARI DARAJA LA II (INFORMATION OFFICER
GRADE II) 1. BARAKA SAMSON CHIPANJILO
71 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania
(GST)
GEOLOGIST II
1. ALBERT OLAPH MDETELE
2. SELEMANI NG'WENDESHA
SILINGI
3. ANDREW KULWA BULUBA
72 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania
(GST)
ENGINEER II (MINERAL PROCESSING)
1. ALICIA SWEETBERT KISHA
73 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo MKAGUZI WA NDANI DARAJA II (INTERNAL AUDITOR II)
1. LUCIA JORAM TIMBA
74 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo AFISA WA SHERIA DARAJA LA II (LEGAL OFFICER GRADE II)
1. PURITY GERALD MATERU
75 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo MHASIBU DARAJA LA II (ACCOUNTANT GRADE II)
1. CHRISTIAN SHEDRACK KASONTA
LIMETOLEWA NA;
KATIBU
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
0 Comments