Â
NAFASI YA UALIMU GOD'S BRIDGEÂ SCHOOL - TUKUYUÂ
NAFASI YA UALIMU GOD'S BRIDGEÂ Â SCHOOL - TUKUYUÂ
Uongozi wa shule ya Msingi GOD'S BRIDGE ENGLISH MEDIUM SCHOOL - TUKUYUÂ
Unapenda kuujulisha umma wa watanzania kuhusu AJIRA za Walimu Kwa masomo yafuatayo:Â
1. Pure Mathematics and Science
2. English, Civic & Moral and Social Studies.
3. Mwalimu wa Chekechea.Â
Sifa za Mwalimu anayehitajika shuleni God's Bridge English Medium School Tukuyu
1. Awe Mtanzania
2. Awe Mhitimu kutoka Chuo cha Tanzania Kuanzia astashahada Hadi Shahada.
3. Fluency in English speaking.
4. Aje na nakala za vyeti na CV yake.Â
5. Asiwe mstaafu.
6. Awe mchangamfu
7. Mtaalamu na mbobezi
  kwenye masomo  tajwa.
Interview itafanyika siku ya Jumatano (5/4/2023) kuanzia saa 2.00 asubuhi hapa shuleni .
NB: Mwalimu mwenye fani mbalimbali atapewa kipaombele.
Mawasiliano:
0757623658
0742963134
Nyote Munakaribishwa:
1 Comments
Thanks the vacancy!!!
ReplyDeleteI'm interested