Ni rahisi sana kufukuzia utajiri haswa ukiwa na Meridianbet, ni rahisi sana kama kunywa maji jangwani na hivi ndivyo Gwiji wa kucheza kasino ya mtandaoni Mwarabu alivyotusua kimaisha kwa dau dogo kabisa. Baada ya kutumia Elfu Hamsini kama mtaji sasa amepata faida mpaka Tsh Milioni 54,700,000/=

Mwarabu ni mkazi wa Dar Es Salaam ambaye Meridianbet wamemtanganza kuwa mshindi mkubwa wa Tsh 54,700,000/= (Milioni Hamsini na Nne na Laki Saba) ambapo alicheza dau dogo la Elfu Hamsini tu (50,000/=) kupitia kasino ya mtandaoni hii ni bahati iliyoje.

Gwiji huyu ambaye majina yake kamili yamehifadhiwa alicheza sloti ya 100 Burning Hot inayopatikana kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, sloti hii inalipa sana kwani ushindi ni rahisi kuupata kwa dau dogo tu la kuanzia Tsh 100/=

Alipoulizwa kwa njia ya simu kuhusu ushindi huo alijibu “Najisikia furaha sana mwanzoi nilikua nikicheza nakula pesa ndogo ndogo hatimaye leo nimepiga mkwanja huu wa Mamilioni. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet haijawahi niangusha hata siku moja ndiyo maana nacheza kila siku”

“Naipenda sloti ya 100 Burning Hot kwa sababu inanipa sloti nyingi za kucheza na zote ni rahisi” Mshindi wa Milioni 54

Sloti ya 100 Burning Hot ni miongoni mwa michezo pendwa ya kasino inayotoa mkwanja muda wowote, lakini pia sloti nyingine rahisi kushinda ni Aviator, Poker na Titan Roulette yote unaipata kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet kupitia www.meridianbet.co.tz


Je Unahitaji kufahamu Sloti hii Inakuaje?

100 Burning Hot ni sloti rahisi sana kuicheza ina mistari 5 ya ushindi huku kukiwa na mingine 100 ya ziada, sloti hii inakuja na machaguo mengi ya ushindi kama vile namba 7, alama ya dola, na alama ya ushindi mkubwa kabisa ya “Wild’ hiyo inakupa bonasi ya kushinda mara nyingi. Cheza sasa kwa dau dogo la kuanzia Tsh 100/=  kubwa Zaidi Sloti hii inakupatia mizunguko 100 ya bure.


JOIN OUR SOCIAL MEDIA PLATFORMS FOR MORE UPDATES

  


TAP HERE TO VISIT OUR WEBSITEnews

TAP HERE TO DOWNLOAD OUR APP (GOOGLE PLAY STORE)news



 Leave your comment on our service.....................