Tamisemi self form how to change combination for form five students.
MUONGOZO WA MWANAFUNZI KATIKA MFUMO WA SELFORM
NAMNA YA KUINGIA NA KUBADILISHA MACHAGUO
Umeandaliwa na:-
Ofisi ya Rais,
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,
S.L.P 1923,
DODOMA.
JUKUMU LA MWANAFUNZI KATIKA MFUMO WA SELFORM
Mwanafunzi (Muhitimu wa Kidato cha Nne (Form Four)) – Jukumu lake kuu katika
mfumo wa Selform ni kubadilisha baadhi ya taarifa binafsi kama Home Address, Mobile Number,
Email Address na machaguo ya shule, vyuo na tahsusi zake katika seksheni zingine kutokana na
ufaulu katika matokeo yake.
ANGALIA VIDEO YA NAMNA YA KUBADILI COMBINATION HAPA
1. NAMNA YA KUINGIA KWENYE MFUMO WA SELFORM
Click sehemu iliyoandikwa FOR A NEW CANDIDATE CLICK HERE TO REGISTER chini mwisho wa hii page,
Kisha, ujaze taarifa zinazohusika za Index Number kwa format ya Mfano
S0101.0020.2018, Jibu swali utakaloulizwa, Jina la Ukoo na Mwaka wa kuzaliwa
kama inavyoonekana hapo chini.
Kisha dirisha litafunguka na kutaka ujaze Password utakayoitumia siku zote. Dirisha
litafunguka;
Ukishaandika Password, mfumo utaonekana na kuonesha umefanikiwa kubadili
Password;
Ukishabadili Password, utaitumia kuingia kwa mara nyingine kwa kuandika username
mfano S0101.0002.2018 na Password uliyoibadili.
2. PART A: TAARIFA BINAFSI ZA MWANAFUNZI
Ukishaingia kwenye mfumo, dirisha lifuatalo litafunguka na sehemu zilizozungushiwa tu ndio
utaweza kubadili taarifa binafsi. Ukimaliza kujaza bofya Save and Next hapo chini ili kuendelea
mbele.
ANGALIA VIDEO YA NAMNA YA KUBADILI COMBINATION HAPA
3. PART B1: STUDENT GENERAL CHOICES
Bofya katika sehemu hii ili kuendelea kubadilisha taarifa zako za machaguo.
4. PART B2: ALTERNATIVE OPTIONS
Bofya kuingia katika eneo hili ili kuendelea kubadilisha taarifa zako za machaguo ya vyuo vya
Kisekta. Ukimaliza bofya SAVE & NEXT.
5. PART C1: FORM V STUDENT DETAILED CHOICES
Bofya kuingia katika eneo hili ili kuendelea kubadilisha taarifa zako za machaguo ya shule za form
V na tahsusi zake: KUMBUKA– Mwanafunzi ataona Possible combinations tu na shule
kutokana na ufaulu wa matokeo yake kwa lengo la kubadilisha. Ukimaliza bofya SAVE
& NEXT or Save & Go Back.
6. PART C2: TECHNICAL EDUCATION
Bofya kuingia katika eneo hili ili kuendelea kubadilisha taarifa zako za machaguo ya Vyuo vya
Technical na Tahsusi zake: KUMBUKA– Mwanafunzi lazima awe na ufaulu wa Tahsusi
ya PCM katika matokeo yake kwa ajili ya kubadilisha eneo hili. Ukimaliza bofya SAVE
& NEXT or Save & Go Back.
ANGALIA VIDEO YA NAMNA YA KUBADILI COMBINATION HAPA
7. PART C3: HEALTH EDUCATION
Bofya kuingia katika eneo hili ili kuendelea kubadilisha taarifa zako za machaguo ya Vyuo vya
Afya na Tahsusi zake. Ukimaliza bofya SAVE & NEXT or Save & Go Back.
8. PART C4: DIPLOMA EDUCATION
Bofya kuingia katika eneo hili ili kuendelea kubadilisha taarifa zako za machaguo ya Vyuo vya
Elimu na Tahsusi zake. Ukimaliza bofya SAVE & NEXT or Save & Go Back.
9. PART C5: OTHER COLLEGES
Bofya kuingia katika eneo hili ili kuendelea kubadilisha taarifa zako za machaguo ya Vyuo
Vinginevyo na Tahsusi zake. Ukimaliza bofya SAVE & NEXT or Save & Go Back.
MWISHO WA MWONGOZO
TAP HERE TO JOIN OUR YOUTUBE CHANNEL
- Hakikisha unasoma maelezo yote hapo juu vizuri na kuyaelewa.
SELF FORM SYSTEM TAMISEMI | KUBADILISHA COMBINATIONS
👇👇👇👇👇👇
IF YOU HAVE ACCOUNT ALREADY CLICK HERE TO LOGIN
FOR A NEW CANDIDATE CLICK HERE TO REGISTER
ANGALIA VIDEO YA NAMNA YA KUBADILI COMBINATION HAPA
ANGALIA NA DOWNLOAD VIDEO ZA MASOMO MBALIMBALI HAPA.
01. NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE >>>WATCH>>>DOWNLOAD>>>
02. WATOTO WA MAMA NTILIE >>>WATCH>>>DOWNLOAD>>>
03. KILIO CHETU >>>WATCH>>>DOWNLOAD>>>
04. THE LION AND THE JEWEL >>>WATCH>>>DOWNLOAD>>>
05. UN ANSWERD CRIES >>>WATCH>>>DOWNLOAD>>>
06. THREE SUITORS ONE HUSBAND >>>WATCH>>>DOWNLOAD>>>
NA NYINGINEZO NYINGI KUPITIA YOUTUBE CHANNEL YETU YA MAXFLIX TV
FORM FIVE SELECTION 2023/2024
JOIN OUR SOCIAL MEDIA PLATFORMS FOR MORE UPDATES;
TAP HERE TO JOIN OUR YOUTUBE CHANNEL
TAP HERE TO JOIN WHATSAPP CHANNEL
83 Comments
Nimejaribu kuingia kwenye mfumo kwa mara yakwanza mfumo ukagoma nimerudia kwa mara ya pili mfumo ukaomba pasword namm sijaweka pasword sas nimeshindwa kuelewa nifanyenini hapo .
ReplyDeleteInatakiwa kwanza usome yale maelezo yote yaliyoandikwa pale mwanzo ya namna ya kutumia mfumo. Kisha uta click link pale chini ambapo itakueleka kwenye mfumo moja kwa moja. Then uta create account na kuendelea.
DeleteHabari nimejaribu kufanya Register but naulizwa Grade ya SoMo, jina la ukoo na Mwaka,
DeleteTatizo ni Mwaka Kila nikiweka Mwaka inagoma naweka hivi 02.05.2002
Vyuo vya afya mbn havipo?
DeleteCall 0766646276 for more help.
DeleteHi mie pia nimwkama index namba natakiwa niandikaje maan nimejaribu kuandik kama mlivyoelekez nashindwa
DeleteThis comment has been removed by the author.
DeleteThis comment has been removed by the author.
DeleteJinsi ya kueka password na username
ReplyDeleteIngiza namba yako ya mtihani ya kidato cha nne.
Delete0024
DeleteJaman mm nimekwama
DeleteNaomba msaada , sehemu ya Birth Year, unawekaje.......
DeleteWeka mwaka wako wa kuzaliwa. Mfano 2002. ukikwama tutafute mwa email [email protected]
DeleteNikijaribu kusearch college haziji inanambia search doesn't match
DeleteYear of birth. Eg 2005
DeleteNimekwama
ReplyDeleteUmekwama wapi?
DeleteMm sielew naomba namba zako nikupigie au kama ngumu Zang 0653770663 niambie nikupigie please
ReplyDeleteSorry, We will contact you for the help.
Deletembona kila nikishajaza taarifa zangu za awali inaniambia "could not match your details. please retry"
ReplyDeleteKuna mahali utakua umekosea one of your detail. Anza tena kwa u makini.
DeleteSamahani me bado sijaelewa
ReplyDeleteSorry for that. Check me on [email protected]
DeleteSijaelew kabisa naomba mnielezee hasa kuhus passed ap kwenye kubadil
ReplyDeleteUkikwama tutafute kwa email [email protected]
DeleteMimi Eliza yoram kaseka Naomba hapo Kwenye other colleges siona pakuselect maana kweli vyuo vinakuja ila na click wapi Ili niombe ndo sioni please msaada
ReplyDeleteTutafute kwa email [email protected]
DeleteMm ndo na register now Lakin naambiwa Kuna tatizo kama Sasa sielew shida nn
ReplyDeleteI mean naambiwa SOMETHING WENT WRONG PLEASE RETRY SASA NIMERETRY MPKA BAC
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
DeleteHabari najarib sana kujaza sehemu ya college ila nashindwa inasema no results found
DeleteMimi nmeshindwa kuapload self form nafanyaje
ReplyDeleteHallo, napata changamoto kwenye mfumo kila ninapojaza details za grade za somo, last name na mwaka wa kuzaliwa naambiwa could not match your details. Msaada tafadhali
ReplyDeleteSamahani naambiwa something went wrong sasa nifanyeje na tarifa zangu zipo sahihih?
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
DeleteMbn c on xehem ya kujaza
ReplyDeleteMbona nikiingiza index number wakasema.something went wrong njfanyaje
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
DeleteMsaada jaman nimekwama 0683362012
ReplyDeleteJamani mie nimekwama toka jana jioni nimejaribu na leo hii bado nikiingiza username kwenda mbele naambia' Could not match your details.please retry' nime-retry hadi nimechoka kwa aliyefanikisha anisaidie.
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
DeleteHabar mm najaza inex number ila inaandik erro
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
DeleteNimekwama jamani naomba msaada
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
DeleteSamahan naomba usaidizi, nimekwama kwenye kujisajili inasema couldn't match
ReplyDeleteKila nikiweka information inasema couldn't match help please
DeleteMimi nikiweka details inasema could not match your details sijui tatizo ni nini naomba msaada nifanyeje
ReplyDeleteFind us on [email protected] for more help.
DeleteHabari, nashinda kujisajili. Naandika details zote kwa usahihi ila wansema "could not match your details". Tatizo litakuwa wapi?
ReplyDeleteFind us on [email protected]
DeleteMimi Avila nikijaribu kusearch schools inaniambia doesn't march
ReplyDeleteCall us on 0766646276 for more help.
DeleteUnatakiwa kujaza malangapi Mana nimejaza mala moja nikajichanganya naweza jaza Tena!!??
ReplyDeleteYes, you can change as many times as you can as long as the deadline is not yet.
DeleteMim nimeweka password mpya na nikaweka comfrimation new password na kubonyeza go ila hamna k2
ReplyDeleteContact us on [email protected] for more help.
DeleteUmri ni wa mwaka jana au nwaka huu
ReplyDeleteHapo haujazi umri bali mwaka wa kuzaliwa.
DeleteNa kama mtu hana email
ReplyDeleteSio lazima kujaza sehemu ya email.
DeleteNinakuwa nimechagua shule na comb lakin bdaye nikija kureview naona tu comb lakin chaguzi za shule Sion, je nauliza zinakuwa kwenye record zenu au?? Maana naona tu comb
ReplyDeleteYes
DeleteHabari ,mimi nimejaribu imegoma nikaona huenda mimi sijaelewa nikaomba mwalimu anijaribie lkn imegoma kabisa
ReplyDeleteHow about a person who needs to study PCB when the result is P (D) C(B) B(B) can choose it
ReplyDeleteYes you can choose PCB with your results.
DeleteJinsi ya kutengenez password
ReplyDeleteMimi Jasmin Johni mzava index no s1198/0014 inafungua vizuri lakini kwenye personal details inakataa Naomba yw wizara tupate maelekezo kamili
ReplyDeleteContact us on [email protected] for more help
DeleteDah mbna password naweka lakini ina sema error occurred
ReplyDeleteMbona nikiweka password inani andikia incorrect
DeleteJamani nabadili combination katika shule nilizochagua naona inakuja combination moja ya PCM tu Koo nashindwa kuelewa apo mbona combination zingine sizioni
ReplyDeleteTUPIGIE 0766646276
DeleteNapata changamoto kwenye last name na year of birth could not match,
ReplyDeleteTUTAFUTE KWA 0766646276
DeleteKwann inagoma
ReplyDeleteTUTAFUTE KWA 0766646276
DeleteDeadline Lin ?
ReplyDeleteTAREHE 6
DeleteMbon inagom kweny username
ReplyDeleteCALL US VIA 0766646276
ReplyDeleteNashindwa kuandika index number
ReplyDelete